Zaburi 49:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tamaa yao ya ndani ni kwamba nyumba zao ziwepo mpaka wakati usio na kipimo,+Maskani zao mpaka kizazi baada ya kizazi.+Wameyaita mashamba yao kwa majina yao.+ Danieli 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+ Yohana 5:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Mtawezaje kuamini, wakati ninyi mnakubali utukufu+ kutoka kwa mtu na mwenzake na hamtafuti utukufu unaotoka kwa Mungu wa pekee?+
11 Tamaa yao ya ndani ni kwamba nyumba zao ziwepo mpaka wakati usio na kipimo,+Maskani zao mpaka kizazi baada ya kizazi.+Wameyaita mashamba yao kwa majina yao.+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+
44 Mtawezaje kuamini, wakati ninyi mnakubali utukufu+ kutoka kwa mtu na mwenzake na hamtafuti utukufu unaotoka kwa Mungu wa pekee?+