Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Baadaye Kaini akalala na mke wake+ naye akapata mimba, akamzaa Enoko. Kisha akajishughulisha na ujenzi wa jiji, akaliita hilo jiji kwa jina la mwana wake Enoko.+

  • 1 Samweli 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Samweli akaamka mapema ili akutane na Sauli asubuhi. Lakini Samweli akaletewa habari, kusema: “Sauli alikuja Karmeli,+ na tazama! alikuwa akijisimamishia mnara wa ukumbusho,+ kisha akageuka, akavuka na kushuka mpaka Gilgali.”

  • 2 Samweli 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa Absalomu, alipokuwa angali hai, alikuwa amechukua na kujisimamishia nguzo,+ ambayo ipo katika Nchi Tambarare ya Chini ya Mfalme,+ kwa maana alisema: “Sina mwana ili kuweka jina langu katika kumbukumbu.”+ Basi akaiita nguzo hiyo kwa jina+ lake mwenyewe, nayo inaendelea kuitwa Mnara wa Ukumbusho wa Absalomu mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki