1 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Samweli alipoamka asubuhi na mapema ili akutane na Sauli, aliambiwa hivi: “Sauli alienda Karmeli,+ na huko akajisimamishia mnara wa ukumbusho.+ Kisha akageuka na kushuka mpaka Gilgali.”
12 Samweli alipoamka asubuhi na mapema ili akutane na Sauli, aliambiwa hivi: “Sauli alienda Karmeli,+ na huko akajisimamishia mnara wa ukumbusho.+ Kisha akageuka na kushuka mpaka Gilgali.”