Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa Absalomu, alipokuwa angali hai, alikuwa amechukua na kujisimamishia nguzo,+ ambayo ipo katika Nchi Tambarare ya Chini ya Mfalme,+ kwa maana alisema: “Sina mwana ili kuweka jina langu katika kumbukumbu.”+ Basi akaiita nguzo hiyo kwa jina+ lake mwenyewe, nayo inaendelea kuitwa Mnara wa Ukumbusho wa Absalomu mpaka leo hii.

  • Zaburi 49:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tamaa yao ya ndani ni kwamba nyumba zao ziwepo mpaka wakati usio na kipimo,+

      Maskani zao mpaka kizazi baada ya kizazi.+

      Wameyaita mashamba yao kwa majina yao.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Methali 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki