Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ili kukifanya kilio cha mtu wa hali ya chini kimfikie;

      Na hivyo yeye hukisikia kilio cha watu wanaoteseka.+

  • Zaburi 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ili kumhukumu mvulana asiye na baba na mtu aliyepondwa,+

      Ili mwanadamu anayeweza kufa, aliye wa dunia, asisababishe tena kutetemeka.+

  • Luka 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki