13 Na itatukia kwamba mara tu nyayo za miguu ya makuhani wanaolichukua sanduku la Yehova, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga maji ya Yordani, maji ya Yordani yatazuiliwa, maji yanayoshuka kutoka juu, nayo yatasimama kama ukuta wa maji.”+
21 Nao hawakupata kiu+ alipokuwa akiwatembeza kupitia mahali palipo ukiwa.+ Alitiririsha kwa ajili yao maji kutoka katika mwamba, naye aliupasua mwamba ili maji yatiririke.”+