16 Baada ya kubatizwa Yesu akapanda mara moja kutoka katika maji; na, tazama! mbingu zikafunguliwa,+ naye akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa,+ ikija juu yake.+
55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu,
11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+