Zaburi 104:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayewafanya malaika zake kuwa roho,+Na wahudumu wake kuwa moto unaoteketeza.+ Mathayo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na, tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+ Luka 22:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndipo malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.+