Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 6:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 kwa sababu nimeshuka kutoka mbinguni+ kufanya, si mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.+

  • Yohana 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo akaendelea kuwaambia: “Ninyi mnatoka kwenye makao ya chini; mimi ninatoka kwenye makao ya juu.+ Ninyi mnatoka katika ulimwengu+ huu; mimi sitoki katika ulimwengu huu.+

  • Yohana 8:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa ndiye Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa.+ Wala sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe hata kidogo, lakini Huyo alinituma.+

  • 1 Wakorintho 15:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Mtu wa kwanza ni wa kutoka duniani na amefanywa kwa mavumbi;+ mtu wa pili ni wa kutoka mbinguni.+

  • Waefeso 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi neno “alipopanda,”+ linamaanisha nini isipokuwa kwamba alishuka pia katika maeneo ya chini zaidi, yaani, dunia?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki