Waroma 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja,+ lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile, 1 Wakorintho 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mwili, kwa kweli, si kiungo kimoja, bali vingi.+
4 Kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja,+ lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile,