3 Wakumbukeni wale walio katika vifungo vya gereza+ kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao,+ na wale wanaotendewa vibaya,+ kwa kuwa ninyi wenyewe pia bado mko katika mwili.
9 Lakini chukueni msimamo mkampinge yeye,+ mkiwa imara katika imani, mkijua kwamba mambo yaleyale kwa njia ya mateso yanatimizwa katika ushirika mzima wa ndugu zenu ulimwenguni.+