Mathayo 25:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 nilikuwa uchi,+ nanyi mkanivika. Nilishikwa na ugonjwa nanyi mkanitunza. Nilikuwa gerezani+ nanyi mkanijia.’ Wakolosai 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hii hapa ni salamu yangu, ya Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe.+ Endeleeni kuvikumbuka akilini vifungo vyangu vya gereza.+ Fadhili zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi.
36 nilikuwa uchi,+ nanyi mkanivika. Nilishikwa na ugonjwa nanyi mkanitunza. Nilikuwa gerezani+ nanyi mkanijia.’
18 Hii hapa ni salamu yangu, ya Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe.+ Endeleeni kuvikumbuka akilini vifungo vyangu vya gereza.+ Fadhili zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi.