Waroma 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+ 2 Wakorintho 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ni nani aliye dhaifu,+ nami si dhaifu? Ni nani amekwazika, nami siwaki hasira? 1 Wathesalonike 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.
15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+
14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.