Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+

  • 2 Wakorintho 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ni nani aliye dhaifu,+ nami si dhaifu? Ni nani amekwazika, nami siwaki hasira?

  • 1 Wathesalonike 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki