Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mkaribisheni mtu aliye na udhaifu+ katika imani yake, lakini msifanye maamuzi juu ya maswali ya ndani.+

  • Wagalatia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akina ndugu, hata mtu akijikwaa katika kosa+ fulani kabla ya yeye kulijua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho+ jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo katika roho ya upole,+ huku kila mmoja wenu akiendelea kujiangalia,+ ili wewe pia usije ukajaribiwa.+

  • Wagalatia 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Endeleeni kubebeana mizigo mizito,+ na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.+

  • 1 Wathesalonike 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki