Waroma 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+ 1 Wakorintho 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kweli, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+ 1 Wathesalonike 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.
15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+
11 Kwa kweli, kwa ujuzi wako, mtu ambaye ni dhaifu anaharibiwa, ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+
14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.