Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ Waroma 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ikiwa ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya chakula, wewe hutembei tena kupatana na upendo.+ Kwa chakula chako usimwangamize yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
15 Kwa maana ikiwa ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya chakula, wewe hutembei tena kupatana na upendo.+ Kwa chakula chako usimwangamize yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+