2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii+ nami nazijua siri takatifu+ zote na ujuzi+ wote, na ikiwa nina imani yote kuweza kuhamisha milima,+ lakini sina upendo, mimi si kitu.+
13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile ambayo imeandikwa hivi juu yake: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema,”+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema,