1 Wakorintho 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+ 1 Wakorintho 14:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kama yeyote anafikiri kuwa yeye ni nabii au amepewa zawadi ya roho, acheni ayatambue mambo ninayowaandikia ninyi, kwa sababu hayo ni amri ya Bwana.+
14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+
37 Kama yeyote anafikiri kuwa yeye ni nabii au amepewa zawadi ya roho, acheni ayatambue mambo ninayowaandikia ninyi, kwa sababu hayo ni amri ya Bwana.+