Yohana 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 roho ya ile kweli,+ ambayo ulimwengu hauwezi kuipokea,+ kwa sababu hauioni wala kuijua. Ninyi mnaijua, kwa sababu hiyo hukaa pamoja nanyi na imo ndani yenu.+ 1 Wakorintho 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho+ yake, kwa maana roho+ huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito+ ya Mungu. Tito 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Roho hii yeye aliimimina kwa wingi juu yetu kupitia Yesu Kristo Mwokozi wetu,+
17 roho ya ile kweli,+ ambayo ulimwengu hauwezi kuipokea,+ kwa sababu hauioni wala kuijua. Ninyi mnaijua, kwa sababu hiyo hukaa pamoja nanyi na imo ndani yenu.+
10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho+ yake, kwa maana roho+ huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito+ ya Mungu.