Kutoka 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+ 1 Wafalme 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+
14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+