2 Wakorintho 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na sisi sote,+ wakati tunapotoa kama vioo mrudisho wa utukufu wa Yehova+ tukiwa na nyuso zisizo na utaji, tunageuzwa+ na kuwa katika mfano+ uleule kutoka utukufu mpaka utukufu,+ sawasawa kabisa na anavyofanya Yehova+ aliye Roho.
18 Na sisi sote,+ wakati tunapotoa kama vioo mrudisho wa utukufu wa Yehova+ tukiwa na nyuso zisizo na utaji, tunageuzwa+ na kuwa katika mfano+ uleule kutoka utukufu mpaka utukufu,+ sawasawa kabisa na anavyofanya Yehova+ aliye Roho.