53 Nilipokuwa pamoja nanyi katika hekalu+ siku baada ya siku hamkunyoosha mikono yenu ili kunikamata.+ Lakini hii ndiyo saa+ yenu na ndiyo mamlaka+ ya giza.”+
2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+