Isaya 42:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+ Mathayo 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa. Yohana 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yule anayemwamini hatahukumiwa.+ Yule ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani katika jina la Mwana mzaliwa-pekee wa Mungu.+
42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ambaye ninamshika sana!+ Mchaguliwa wangu,+ ambaye nafsi yangu imemkubali!+ Nimetia roho yangu ndani yake.+ Yeye atawatolea mataifa haki.+
18 “Tazama! Mtumishi wangu+ ambaye nilimchagua, mpendwa wangu,+ ambaye nafsi yangu ilimkubali! Nitatia roho yangu juu yake,+ na yaliyo haki atayafanya kuwa wazi kwa mataifa.
18 Yule anayemwamini hatahukumiwa.+ Yule ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani katika jina la Mwana mzaliwa-pekee wa Mungu.+