4 ambao kati yao mungu wa mfumo huu wa mambo*+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru ya* habari njema yenye utukufu kuhusu Kristo, aliye mfano wa Mungu,+ isiwaangazie.+
2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo* wa ulimwengu huu,+ kulingana na mtawala wa mamlaka ya hewa,+ roho+ ambayo sasa inafanya kazi katika wana wa kutotii.