Mathayo 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme lakini halielewi, yule mwovu+ huja na kunyakua kilichopandwa moyoni mwake; hiyo ndiyo mbegu iliyopandwa kando ya barabara.+ Luka 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Ibilisi akamwambia: “Nitakupa mamlaka yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa,+ nami humpa yeyote ninayetaka. Yohana 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+
19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme lakini halielewi, yule mwovu+ huja na kunyakua kilichopandwa moyoni mwake; hiyo ndiyo mbegu iliyopandwa kando ya barabara.+
6 Kisha Ibilisi akamwambia: “Nitakupa mamlaka yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa,+ nami humpa yeyote ninayetaka.