Marko 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo neno hupandwa; lakini mara tu wanapolisikia, Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+ Luka 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbegu zilizoanguka kando ya barabara ni wale ambao husikia, kisha Ibilisi huja na kuliondoa lile neno mioyoni mwao ili wasiamini na kuokolewa.+
15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo neno hupandwa; lakini mara tu wanapolisikia, Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+
12 Mbegu zilizoanguka kando ya barabara ni wale ambao husikia, kisha Ibilisi huja na kuliondoa lile neno mioyoni mwao ili wasiamini na kuokolewa.+