Mathayo 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme lakini halielewi, yule mwovu+ huja na kunyakua kilichopandwa moyoni mwake; hiyo ndiyo mbegu iliyopandwa kando ya barabara.+ Luka 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbegu zilizoanguka kando ya barabara ni wale ambao husikia, kisha Ibilisi huja na kuliondoa lile neno mioyoni mwao ili wasiamini na kuokolewa.+
19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme lakini halielewi, yule mwovu+ huja na kunyakua kilichopandwa moyoni mwake; hiyo ndiyo mbegu iliyopandwa kando ya barabara.+
12 Mbegu zilizoanguka kando ya barabara ni wale ambao husikia, kisha Ibilisi huja na kuliondoa lile neno mioyoni mwao ili wasiamini na kuokolewa.+