Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme lakini halielewi, yule mwovu+ huja na kunyakua kilichopandwa moyoni mwake; hiyo ndiyo mbegu iliyopandwa kando ya barabara.+

  • Marko 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo neno hupandwa; lakini mara tu wanapolisikia, Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+

  • 2 Wakorintho 4:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa kwa kitambaa, imefunikwa kati ya wale wanaoangamia, 4 ambao kati yao mungu wa mfumo huu wa mambo*+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru ya* habari njema yenye utukufu kuhusu Kristo, aliye mfano wa Mungu,+ isiwaangazie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki