3Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari* kuliko wanyama wote wa mwituni walioumbwa na Yehova Mungu. Kwa hiyo, akamuuliza mwanamke: “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+
3 Lakini kwa njia fulani, ninaogopa kwamba kama nyoka alivyomshawishi Hawa kwa ujanja,+ huenda akili zenu zikapotoshwa kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi* unaomfaa Kristo.+
14 Lakini yule mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa,+ ili aruke kwenda nyikani mahali pake, ambapo atalishwa kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati*+ mbali na uso wa yule nyoka.+