Kutoka 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Mmejionea wenyewe mambo niliyowatendea Wamisri,+ ili niwabebe juu ya mabawa ya tai na kuwaleta kwangu.+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena. Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;Watatembea na hawatachoka.”+
4 ‘Mmejionea wenyewe mambo niliyowatendea Wamisri,+ ili niwabebe juu ya mabawa ya tai na kuwaleta kwangu.+
31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena. Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;Watatembea na hawatachoka.”+