Kumbukumbu la Torati 32:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama tai anavyokitikisa kiota chake,Anavyopaa juu ya makinda yake,Akitandaza mabawa yake, na kuwachukua,Akiwabeba juu ya mabawa yake,+12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+ Isaya 63:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+ Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+ Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+
11 Kama tai anavyokitikisa kiota chake,Anavyopaa juu ya makinda yake,Akitandaza mabawa yake, na kuwachukua,Akiwabeba juu ya mabawa yake,+12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+
9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+ Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+ Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+