Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama tai anavyokitikisa kiota chake,

      Anavyopaa juu ya makinda yake,

      Akitandaza mabawa yake, na kuwachukua,

      Akiwabeba juu ya mabawa yake,+

      12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+

      Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+

      Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+

      Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+

      Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki