Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 6:3-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mtu yeyote akifundisha mafundisho tofauti na yanayopingana na fundisho lenye manufaa*+ linalotoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo, au mafundisho yasiyopatana na ujitoaji-kimungu,*+ 4 yeye anajivuna kwa kiburi na haelewi chochote.+ Pia, anapenda sana* kubishana na kushindana kuhusu maneno.+ Mambo hayo huleta wivu, mizozo, uchongezi,* na shaka zenye uovu, 5 mabishano ya kawaida kuhusu mambo madogo madogo ya watu waliopotoka kiakili+ na wasiojua kweli, wakifikiri ujitoaji-kimungu* ni njia ya kupata faida.+

  • Waebrania 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Msipotoshwe na mafundisho mbalimbali yaliyo mageni, kwa maana ni bora moyo uimarishwe kwa fadhili zisizostahiliwa, bali si kwa vyakula,* ambavyo haviwanufaishi wale wanaojishughulisha navyo.+

  • 2 Petro 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mmepata ujuzi huu mapema, jilindeni ili msipotoshwe pamoja nao kwa kosa la waasi sheria, na kuanguka kutoka kwenye msimamo wenu imara.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki