24 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara kubwa na maajabu ili kuwapotosha,+ ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.
14 Basi tusiwe tena watoto, tukirushwa huku na huku kama kwa mawimbi na kupeperushwa na kila upepo wa fundisho+ kwa udanganyifu wa watu, kupitia ujanja na njia za hila.