Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha Shetani* akasimama dhidi ya Waisraeli na kumchochea Daudi awahesabu Waisraeli.+

  • Ayubu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi siku ilifika ambayo wana wa Mungu*+ wa kweli waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ Shetani+ pia akaingia kati yao.+

  • Zekaria 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha malaika wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova na akukemee, ewe Shetani,+ naam, Yehova, ambaye amechagua Yerusalemu,+ na akukemee! Je, mtu huyu si gogo lililochomolewa motoni?”

  • Mathayo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+

  • Yohana 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baada ya Yuda kuchukua kipande hicho cha mkate, Shetani akamwingia.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Kile unachofanya, kifanye upesi zaidi.”

  • Waroma 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu hivi karibuni. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.

  • 2 Wathesalonike 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi sheria ni kupitia kazi ya Shetani+ pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki