Mwanzo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitaweka uadui*+ kati yako+ na mwanamke+ na kati ya uzao wako*+ na uzao wake.*+ Yeye atakuponda* kichwa,+ nawe utamuuma* kisigino.”+ Waebrania 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vivyo hivyo yeye pia aliyashiriki mambo hayo,+ ili kupitia kifo chake amwangamize yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi,+
15 Nami nitaweka uadui*+ kati yako+ na mwanamke+ na kati ya uzao wako*+ na uzao wake.*+ Yeye atakuponda* kichwa,+ nawe utamuuma* kisigino.”+
14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vivyo hivyo yeye pia aliyashiriki mambo hayo,+ ili kupitia kifo chake amwangamize yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi,+