Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kupitia uzao wako*+ mataifa yote ya dunia yatajipatia baraka kwa sababu umeisikiliza sauti yangu.’”+

  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+

  • Wagalatia 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu na kwa uzao wake.*+ Haisemi, “na kwa wazao wako,”* kana kwamba ni wengi. Badala yake, inasema, “na kwa uzao wako,”* kana kwamba ni kwa mmoja, ambaye ni Kristo.+

  • Wagalatia 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki