-
Wagalatia 3:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Sasa ahadi zilisemwa kwa Abrahamu na kwa mbegu yake. Haisemi: “Na kwa hizo mbegu,” kama katika kisa cha nyingi za namna hiyo, bali kama katika kisa cha moja: “Na kwa mbegu yako,” ambaye ni Kristo.
-