16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu na kwa uzao wake.*+ Haisemi, “na kwa wazao wako,”* kana kwamba ni wengi. Badala yake, inasema, “na kwa uzao wako,”* kana kwamba ni kwa mmoja, ambaye ni Kristo.+
16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+