Waroma 9:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa* Abrahamu;+ badala yake, “Ule utakaoitwa uzao wako* utapitia kwa Isaka.”+ 8 Yaani, watoto katika mwili si watoto wa Mungu kihalisi,+ lakini watoto kupitia ahadi+ ndio wanaohesabiwa kuwa uzao.*
7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa* Abrahamu;+ badala yake, “Ule utakaoitwa uzao wako* utapitia kwa Isaka.”+ 8 Yaani, watoto katika mwili si watoto wa Mungu kihalisi,+ lakini watoto kupitia ahadi+ ndio wanaohesabiwa kuwa uzao.*