Luka 22:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, ambaye alikuwa mmoja wa wale 12,+ 4 naye akaenda kuongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu kuhusu jinsi atakavyomsaliti kwao.+
3 Ndipo Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, ambaye alikuwa mmoja wa wale 12,+ 4 naye akaenda kuongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu kuhusu jinsi atakavyomsaliti kwao.+