Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:14-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo mmoja wa wale 12, aliyeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani+ 15 na kuwauliza: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakakubaliana naye vipande 30 vya fedha.+ 16 Basi tangu wakati huo akaanza kutafuta nafasi nzuri ya kumsaliti.

  • Marko 14:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yuda Iskariote, mmoja wa wale 12, akaenda kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+ 11 Waliposikia hilo, wakafurahi na kuahidi kumpa fedha.+ Basi akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti.

  • Yohana 6:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Yesu akawaambia: “Niliwachagua ninyi 12, sivyo?+ Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”*+

  • Yohana 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipokuwa wakila mlo wa jioni, tayari Ibilisi alikuwa ameweka wazo la kumsaliti Yesu+ ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni.

  • Yohana 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baada ya Yuda kuchukua kipande hicho cha mkate, Shetani akamwingia.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Kile unachofanya, kifanye upesi zaidi.”

  • Matendo 1:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+ 17 Kwa maana alihesabiwa miongoni mwetu+ naye alipata fungu katika huduma hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki