Luka 22:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, ambaye alikuwa mmoja wa wale 12,+ 4 naye akaenda kuongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu kuhusu jinsi atakavyomsaliti kwao.+ Yohana 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baada ya Yuda kuchukua kipande hicho cha mkate, Shetani akamwingia.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Kile unachofanya, kifanye upesi zaidi.”
3 Ndipo Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, ambaye alikuwa mmoja wa wale 12,+ 4 naye akaenda kuongea na wakuu wa makuhani na makapteni wa hekalu kuhusu jinsi atakavyomsaliti kwao.+
27 Baada ya Yuda kuchukua kipande hicho cha mkate, Shetani akamwingia.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Kile unachofanya, kifanye upesi zaidi.”