Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo;

  • Mathayo 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Simoni Mkananayo;* na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+

  • Luka 6:12-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku moja, Yesu alienda mlimani kusali,+ naye akasali kwa Mungu usiku wote.+ 13 Kulipokucha akawaita wanafunzi wake na kuchagua 12 kati yao, ambao pia aliwaita mitume:+ 14 Simoni, ambaye pia alimwita jina Petro, Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo,+ Bartholomayo, 15 Mathayo, Tomasi,+ Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni anayeitwa “mwenye bidii,” 16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyegeuka kuwa msaliti.

  • Yohana 6:70, 71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Yesu akawaambia: “Niliwachagua ninyi 12, sivyo?+ Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”*+ 71 Kwa kweli, alikuwa akizungumza kumhusu Yuda mwana wa Simoni Iskariote, ambaye angemsaliti, ingawa alikuwa mmoja wa wale 12.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki