Mathayo 26:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo mmoja wa wale 12, aliyeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani+ 15 na kuwauliza: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakakubaliana naye vipande 30 vya fedha.+ Yohana 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yuda Iskariote,+ mmoja wa wanafunzi wake aliyekuwa karibu kumsaliti akasema:
14 Ndipo mmoja wa wale 12, aliyeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani+ 15 na kuwauliza: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakakubaliana naye vipande 30 vya fedha.+