Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Alipokuwa bado akizungumza, tazama! Yuda, mmoja wa wale 12, akaja pamoja na umati mkubwa wakiwa na mapanga na marungu, walikuwa wametumwa na wakuu wa makuhani na wazee wa watu.+

  • Marko 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yuda Iskariote, mmoja wa wale 12, akaenda kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+

  • Luka 22:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Lakini Yesu akamuuliza: “Yuda, unamsaliti Mwana wa binadamu kwa busu?”

  • Yohana 13:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa kuwa Yuda alikuwa akitunza sanduku la pesa,+ baadhi yao walifikiri Yesu alikuwa akimwambia, “Nunua vitu tunavyohitaji kwa ajili ya sherehe,” au kwamba anapaswa kuwapa maskini kitu fulani.

  • Matendo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki