-
Yohana 12:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Lakini Yuda Iskariote,+ mmoja wa wanafunzi wake aliyekuwa karibu kumsaliti akasema: 5 “Kwa nini mafuta haya yenye marashi hayangeuzwa kwa dinari* 300 na maskini wapewe pesa hizo?” 6 Hakusema hivyo kwa sababu aliwahangaikia maskini, bali kwa sababu alikuwa mwizi, naye ndiye aliyetunza sanduku la pesa na alikuwa akiiba pesa zilizowekwa humo.
-