3Naye akanionyesha kuhani mkuu Yoshua+ akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, na Shetani+ alikuwa amesimama kwenye mkono wa kulia wa Yoshua ili kumpinga.
9 Basi yule joka mkubwa+ akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.