Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akanionyesha kuhani mkuu Yoshua+ akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, na Shetani+ alikuwa amesimama kwenye mkono wa kulia wa Yoshua ili kumpinga.

  • Mathayo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+

  • Mathayo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Mjaribu+ akaja na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, yaambie mawe haya yawe mikate.”

  • Luka 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Simoni, Simoni, tazama! Shetani anataka kuwapata ninyi nyote ili awapepete kama ngano.+

  • Yohana 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Walipokuwa wakila mlo wa jioni, tayari Ibilisi alikuwa ameweka wazo la kumsaliti Yesu+ ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni.

  • Ufunuo 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi yule joka mkubwa+ akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki