Mathayo 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara kubwa na maajabu ili kuwapotosha,+ ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.
24 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara kubwa na maajabu ili kuwapotosha,+ ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.