Mwanzo 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wana wa Mungu wa kweli*+ wakaanza kuona kwamba mabinti wa wanadamu ni warembo. Basi wakaanza kuwachukua wote waliowachagua ili wawe wake zao. Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alisema hivi: “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akawaangazia kutoka Seiri. Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+ Ayubu 38:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nyota za asubuhi+ zilipopaza kelele pamoja kwa shangwe,Na wana wote wa Mungu*+ wakaanza kushangilia kwa sauti?
2 wana wa Mungu wa kweli*+ wakaanza kuona kwamba mabinti wa wanadamu ni warembo. Basi wakaanza kuwachukua wote waliowachagua ili wawe wake zao.
2 Alisema hivi: “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akawaangazia kutoka Seiri. Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+
7 Nyota za asubuhi+ zilipopaza kelele pamoja kwa shangwe,Na wana wote wa Mungu*+ wakaanza kushangilia kwa sauti?