Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wana wa Mungu wa kweli*+ wakaanza kuona kwamba mabinti wa wanadamu ni warembo. Basi wakaanza kuwachukua wote waliowachagua ili wawe wake zao.

  • 1 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama kando yake, upande wake wa kulia na upande wake wa kushoto.+

  • Ayubu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi siku ilifika ambayo wana wa Mungu*+ wa kweli waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ Shetani+ pia akaingia kati yao.+

  • Ayubu 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadaye siku ilifika ambayo wana wa Mungu wa kweli*+ waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ na Shetani pia akaingia kati yao na kusimama mbele za Yehova.+

  • Zaburi 89:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+

      Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki